FEI TOTO WA JKU,NINJA WA TAIFA KUUNGANA NA WENZAO 9 KUKUSA MICHEZO YA WIKI HII

Wachezaji watakaotumikia adhabu baada ya kuoneshwa kadi 3 za njano kwenye mzunguko wa 31 ligi kuu ya soka Zanzibar kanda ya Unguja ni: -

1. Juma mwasimba(Mundu) atakosa mchezo wa Alhamis 20-04-2017 Polisi SC v/s Mundu FC Amani  8:00 mchana.

2. Feisal Salum(JKU) atakosa mchezo wa leo Jumanne 18-04-2017 kati ya JKU SC v/s Black Sailor FC Amani 8:00 mchana.

3. Solomon Joel na Ismail Maseke(Kimbunga) watakosa mchezo wa kesho Jumatano 19-04-2017 Chwaka Stars  v/s Kimbunga FC Amani 8:00 mchana.

4. Haji Idrissa(Kipanga) atakosa mchezo wa kesho Jumatano 19-04-2017 kati ya  Kipanga SC v/s Chuoni FC Amani 10:00 jioni.

5. Ame Khamis Ame(J/boys) atakosa mchezo wa Ijumaa 21-04-2017 kati ya KMKM SC v/s Jang’ombe Boys Amani 1:00 usiku.

6. Hadhir Islam(Chuoni) atakosa mchezo wa Jumatano 19-04-2017 kati ya Kipanga SC v/s Chuoni FC Amani 10:00 jioni.

7. Khelefein Salum(Kilimani City) atakosa mchezo wa Alhamis 20-04-2017 kati ya Kilimani City FC v/s Kijichi FC Amani 10:00 jioni.
8. Rashid Omar(KVZ) atakosa mchezo wa leo Jumanne 18-04-2017 kati ya Malindi SC v/s KVZ SC Amani 10:00 jioni.

9. Abdalla Rashid(Malindi) atakosa mchezo wa leo Jumanne 18-04-2017 Malindi SC v/s KVZ SC Amani 10:00 jioni.

10. Abdalla Haji Shaib(Taifa) atakosa mchezo wa leo Jumanne 18-04-2017 kati ya Taifa v/s Miembeni SC Amani 1:00 usiku.

Comments

  1. IKO VYEMA KAKA TWENDE IVYO IVYO TUTAFIKA
    kidogo kidogo ndio mwendo

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF