KWEREKWE CITY YATESA

Ligi daraja la Pili Wilaya ya Mjini hatua ya 8 Bora  imeendelea tena leo saa 1 usiku katika Uwanja wa Amaan ambapo Kwerekwe City imefanikiwa kushinda bao 1-0 dhidi ya Aman Fresh.
Bao pekee la City limefungwa na Abdul nassir Gamal dakika ya 89.
Ligi hiyo itaendelea tena kesho kwa kupigwa mchezo mmoja saa 1 katika uwanja wa Amaan kati ya Medson dhidi ya Muembe ladu.
Kwenye kundi hilo Kwerekwe city anaongoza akiwa na alama 6 kwa michezo 2, huku   Amani Fresh akiwa na alama 3 michezo 2 wakati Muembe ladu akishika nafasi ya 3 akiwa hana alama hata moja baada ya kucheza mchezo mmoja huku Medson akiburura mkia akiwa hana alama hata moja baada ya kucheza mchezo mmoja.
Kikosi cha Kwerekwe City

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE