VIINGILIO VYA MECHI YA TAIFA NA BOYS HIVI HAPA

Chama cha Soka Visiwani Zanzibar "ZFA" kimetangaza viwango vya viingilio vya mchezo wa kesho Jumanne 25/4/2017 Dabi ya Jang'ombe katika mwendelezo wa ligi kuu ya soka Zanzibar kanda ya Unguja kati ya Jang'ombe Boys vs Taifa ya Jang'ombe saa 2:30 usiku uwanja wa Amaan.

Viingilio katika mchezo huo ni:

Jukwaa ya urusi, orbit na saa itakua 2000, jukwaa la wings 3000, V.I.P "B", "C" na "D" itakua 5000 na V.I.P "A" 10,000.

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE MCHEZAJI MWENYE REKODI YA KUFUNGA MAGOLI MENGI KWENYE MECHI YA TAIFA DHIDI YA BOYS