WACHEZAJI WATAKAOKOSA KUCHEZA MZUNGUKO WA 31 KWA KUTUMIKIA ADHABU NI HAWA AKIWEMO NINJA WA TAIFA NA FEI TOTO WA JKU

Wachezaji watakaotumikia adhabu baada ya kuoneshwa kadi 3 za njano kwenye mzunguko wa 31 ligi kuu ya soka Zanzibar kanda ya Unguja ni: -

1. Juma mwasimba(Mundu)
2. Feisal Salum(JKU)
3. Solomon Joel na Ismail Maseke(Kimbunga)
4. Haji Idrissa(Kipanga)
5. Ame Khamis Ame(J/boys)
6. Hadhir Islam(Chuoni)
7. Khelefein Salum(Kilimani City)
8. Rashid Omar(KVZ)
9. Abdalla Rashid(Malindi)
10. Abdalla Haji Shaib(Taifa).

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE