JAMHURI YAANZA VYEMA

Mchezo wa ligi kuu soka ya Zanzibar hatua ya 8 bora kati ya Jamhuri na Mwenge kwenye uwanja wa Gombani Jamhuri imepata ushindi wa mabao 3-2.

Katika uwanja wa Amaan,  kuna mchezo kati ya Jang'ombe Boys dhidi ya Taifa ya Jang'ombe mchezo ambao utapigwa saa 2:00 za usiku. 

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE