KESHO HAPATOSHI ZAHILFE CUP, DABI YA HABARI ZJMMC v/s MCC , ZU v/s SUZA, ZITOD v/s SUMAIT

Kikosi cha ZJMMC

Na Fatma Suleiman, Zanzibar.

Mashindano ya Vyuo Vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu Zanzibar “ZAHILFE CUP” yataendelea tena kesho kwa kupigwa michezo 7 katika Viwanja 6 tofauti.

Chuo cha Habari ZJMMC watasukumana na MCC Saa 10:00 za jioni katika uwanja wa Fuoni, SUZA v/s ZU Uwanja wa SUMAIT Saa 10:00,  MNMA v/s MICROTECH uwanja wa ZU Tunguu saa 10:00 jioni, KARUME v/s ICPS Uwanja wa Polisi Ziwani saa 10:00 jioni, ZITOD v/s SUMAIT Uwanja wa SUMAIT Chukwani saa 10:00 za jioni, IPA v/s ZSH uwanja wa Amaan saa 8:00 mchana na KATI v/s ZIFA Uwanja wa Fuoni Saa 8:00 za mchana.

Mashindano hayo kuna makundi manne (4) A, B,C na D.

KUNDI “A”
ZU
MNMA
SUZA
MICROTECH

KUNDI “B”
SUMAIT
ICPS
ZITOD
KIST

KUNDI “C”
KATI
ZSH
IPA
ZIFA

KUNDI “D”
ZJMMC
MCC
AFYA (MBWENI)
Kikosi cha ZU

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE