LIGI KUU ZENJ HAPATOSHI KESHO, JAMHURI BADO ANAONGOZA

MZUNGUKO WA TATU UTAENDELEA JUMAPILI NA JUMATATU

Kesho Jumapili 21/5/2017 Jang’ombe Boys v/s JKU, saa 10:00 Amaan.

Kesho Jumapili 21/5/2017 Mwenge v/s Okapi, saa 10:00 Gombani.

Jumatatu 22/5/2017 Zimamoto v/s Taifa Jang’ombe, saa 10:00 Amaan.

Jumatatu 22/5/2017 Jamhuri v/s Kizimbani, saa 10:00 Gombani.

Baada ya hapo ligi hiyo itasimama na kupisha mwezi Mtukufu wa Ramadhan ambapo itakuja kuendelea Mzunguko wa nne mpaka imalizike Mwezi huo wa Ramadhan.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE