GULIONI YATULIZWA NA MLANDEGE

Full Time Hatua ya 4 bora ligi daraja la Pili Wilaya ya Mjini. 

Mlandege 3-1 Gulioni,  bao la Gulioni limefungwa na Shaabani Hassan dakika 28 wakati mabao ya Mlandege yamefungwa dakika 47 na 66 na Mohd Abdallah, Hassan Ramadhan dakika ya 68.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE