LIVE KUTOKA UWANJA WA AMANI, GULIONI V/S KWEREKWE CITY 4 BORA

FT.  hatua ya 4 Bora ligi daraja la Pili Wilaya ya Mjini,  Gulioni 1-1 Kwerekwe City.

Bao la Gulioni limefungwa na Awatif Amour dakika ya 3 wakati la City limefungwa na Saleh Masoud dakika ya 16.

Dakika ya 45 Abdillah Ame wa Kwerekwe City ametolewa nje kwa kuoneshwa kadi nyekundu na Muamuzi Ali Ramadhan Ibada "Kibo".

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE