NYERERE, KOCHA CHOLO NA MKENYA WASHINDA TUNZO ZA MWEZI WA APRIL, ZPL

Kamati ya ufundi ya Unguja imetangaza majina matatu ya Kocha bora,  Mchezaji bora na Muamuzi bora wa Mwezi wa April katika ligi kuu soka ya Zanzibar Kanda ya Unguja.


Nassor Salum kocha wa Polisi
Kamati hiyo imemteua Kocha Nassor Salum wa Polisi kuwa kocha bora wa mwezi, huku Mshambuliaji wa Kipanga Daudi Nyerere katangazwa kuwa Mchezaji bora wa Mwezi na Ali Haji "Mkenya" kafanikiwa kuwa muamuzi bora wa mwezi huo.

David Nyerere mshambuliaji wa Kipanga

Zawadi zao zitatolewa leo kwenye pambano la saa kumi uwanja wa Amaan kati ya Kipanga dhidi ya KMKM.

Comments

  1. Hongera sana Kocha Cholo.usiridhike na hapo ongeza juhud we wanna see at another high level

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE