WAAMUZI WATAKASIMAMIA LIGI KUU ZENJ KITUO CHA PEMBA HAWA HAPA
CHAMA cha mpira wa miguu ZFA Taifa Pemba, kimewachaguwa
wamuzi watano
watano wamuzi wasaidizi sita na wasimamizi wa mchezo watatu
watakao
weza kusimamia ligi kuu ya Zanzibar kwa upande wa Kisiwa cha
Pemba.
Akizungumza na mwandishi wa Mtandao huu, Mkufunzi wa Waamumuzi
Kisiwani hapa, mwamuzi mstaafu wa Kimataifa (FIFA) Ali Juma
Salum,
alisema ZFA imeawachaguwa waamuzi hao kutokana na uzoefu
walionao
katika kuchezesha mpira wa miguu.
Aliwataja wa Wamuzi watakao chezesha katika ligi hiyo,
Suleiman Khatib
(Kisauti), Assa Ali, Mohamed Seif, Makame Haji Chirau na
Said Ali.
Waamuzi wasaidizi ni Mwadini Ali Mwadini, Shehe Suleiman
Hamoud,
Suleiman Juma (Viringi), Khalifan Ali, Tahir Silima na Shaibu
Mahadhi,
wasimamizi wa michezo ni Ali Juma Salum, Sarhani Said na Ali Said
Ali.
“Nimewapa mafunzo kwa muda mrefu namini watayatumia ipasavyo
mafunzo
yao, imani yangu ligi hii itanza vizuri na itamaliza kwa
usalama
nitahakikisha kila timu itapata haki yake na sitopendelea
upande
wowote”, Alisema.
Hata hivyo aliwataka viongozi wa timu, kuachana na tabiya ya
malalamiko yasiokuwa ya msingi, kwani viongozi wengi hupenda
kuwalaumu
wamuzi jambo ambalo husababisha vurugu, ila wakigundiuwa kunatatizo
wafuate taratibu na kanuni za ZFA.
Aidha aliwata mashabiki wa mipira wa miguuu, kuchana na tabia
ya
kuwatukana Wamuzi, kwani wao wamechaguliwa kihali na ZFA,
matusi
hupelekea uvunjifu wa
amani bali wawe na ustahamili, Wamuzi ni
binaamu kama binaadamu wengine.
Na: Abd Suleiman, Pemba.
Comments
Post a Comment