ZAHILFE CUP LIVE KUTOKA UWANJA WA AMANI, ZU v/s NYERERE

Full Time, Mashindano ya Vyuo Vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu Zanzibar ZAHILFE CUP.

Zanzibar University 4-0 Mwalim Nyerere. 

Mabao ya ZU yamefungwa na Nabil Juma "Jaja" dakika ya 49, Hassan H Haji dakika ya 65, Mohd Nassor "Jaba" dakika ya 76 na Yussuf R Haji "Mess" dakika ya 88.

Kombe hilo litaendelea tena kesho kwa kupigwa michezo 6 katika viwanja tofauti. 

Amaan,  Saa10 kamili Chuo cha Habari v/s Afya. 

Fuoni, Saa 8:00 IPA v/s ZIFA. 

Fuoni, Saa 10 MICROTECH v/s SUZA. 

Chukwani,  Saa 10 KATI v/s ZSH. 

Polisi Ziwani, SUMAIT v/s ICPS. 

Tunguu ZU,  KARUME v/s ZITOD. 


Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE