ZU MABINGWA TENA ZAHILFE

Chuo cha Zanzibar University (ZU) wamefanikiwa kutetea taji lao baada ya kuwafunga Afya Mbweni mabao 4-1 katika fainali ya tano ya Mashindano ya Vyuo Vikuu na taasisi ya Elimu ya Juu Zanzibar (ZAHILFE CUP) katika uwanja wa Amaan.

Mabao ya ZU yamefungwa na Hassan Hemed dakika ya 10 na 43, Nabil Amour (Jaja)  dakika 35 na Yussuf Haji dakika ya 51.

Bao pekee la Afya limefungwa na Yakoub Omar dakika ya 41.

HISTORIA YA ZAHILFE
2013  AFYA MBWENI PENALTI 5-4 ZU, DAKIKA 90 WALITOKA 0-0
2014 CHWAKA PENALTI 5-4 ZITOD, DAKIKA 90 WALITOKA 1-1
2015 SUMAIT 1-0 ZU
2016 ZU 4-2 CHWAKA
2017 ZU 4-1 AFYA

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE MCHEZAJI MWENYE REKODI YA KUFUNGA MAGOLI MENGI KWENYE MECHI YA TAIFA DHIDI YA BOYS