ZU YAFUNDISHWA SOKA NA WATOTO WA MJINI WA KOCHA KING
Mohammed Seif "King" kocha wa Mjini |
Mabingwa wa watetezi wa Mashindano ya Soka ya Vyuo Vikuu vya
Zanzibar “ZAHILFE CUP” Chuo cha Zanzibar Univeristy jioni ya leo wamefundishwa
soka na Vijana wa Kombain ya Wilaya ya Mjini baada ya kukubali kufungwa bao 1-0
kwenye mchezo wa kirafiki uliopigwa katika uwanja wao ZU Tunguu.
Bao pekee la Mjini limefungwa na Abdul hamid Juma “Samatta”
ambapo ZU walishindwa kuamini kilichowakuta mbele ya Vijana hao.
Mjini wanajiandaa na Mashindano ya Vijana ya Rolling Stone
yatayotarajiwa kufanyika Arusha mwezi July, 2017 wakati ZU wapo katika maandalizi
makali kujiandaa na Mashindano ya Vyuo Vikuu vya na Taasisi za Elimu ya Juu
Zanzibar “ZAHILFE” ambayo yanatarajiwa kuanza Jumapili hii ya Mei 14, 2017
ambapo ZU watafungua dhidi ya Chuo cha Nyerere saa10:00 za jioni katika Uwanja
wa Amaan.
NnulaeMplac_za Eric Cromartie link
ReplyDeleteeanathamra
WlauceMcoego Mike Donovan ArchiCAD 26.3010
ReplyDeleteFastStone Capture
Movavi Slideshow Maker 8.0.0
DigiDNA iMazing 2.13.1
raimalodro