DEAL DONE-NINJA WA TAIFA YA JANG'OMBE ASAINIWA YANGA

Beki kisiki wa timu ya Taifa ya Jang"ombe Abdallah Haji Shaibu "Ninja" amesaini mkataba wa miaka 2 na mabingwa watetezi wa ligi kuu soka ya Tanzania bara klabu ya YANGA.

Mkataba huo Ninja amesaini mchana wa leo kwenye Makao makuu ya klabu hiyo iliyopo Jangwani Jijini Dar es salam.

Zaidi endelea kufatilia blog hii.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE