HAND BALL UNGUJA HAO WATINGA ROBO FAINALI UMISSETA

Timu ya Unguja ya mpira wa Mikono (Hand Ball) imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali katika Mashindano ya UMISSETA baada ya kuwafunga Rukwa kwa mabao 13-8, mchezo ulipigwa katika uwanja wa Chuo cha Ualimu Butimba Mkoani Mwanza.

Kwa matokeo hayo Unguja itacheza robo fainali Jumanne dhidi ya Katavi majira ya saa 3 asubuhi huko Butimba.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE