KESHO NI ZAMU YA BOYS NA GULIONI SHEREHE ZA KUFUNGA SIKUKUU ZA EID

Kikosi cha Gulion FC
Timu ya Gulioni FC bado inaendelea na mchakato wake wa kujiweka sawa kucheza ligi Daraja la Kwanza Taifa Unguja msimu mpya ambapo kesho Alhamis Iddi nne watacheza mchezo mwengine wa kirafiki na timu ya Jang’ombe boys, mchezo ambao utasukumwa saa 2:00 za usiku katika Uwanja wa Amaan.

Gulioni jana walipigwa 2-1 na Taifa ya Jang’ombe katika mchezo wa kirafiki ambapo kesho wamepania kufuta makosa yao mbele ya Boys.


Viingilio vya mchezo huo ni Shilingi 2000/=, 3000/= na  VIP 5000/= .
Kikosi cha Jang'ombe Boys

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE MCHEZAJI MWENYE REKODI YA KUFUNGA MAGOLI MENGI KWENYE MECHI YA TAIFA DHIDI YA BOYS