KOCHA BUSHIR, BARES, MALALE, NA MOROCO WAWAFUNGULIA NJIA NZURI MAKOCHA WA ZANZIBAR KWENYE LIGI KUU BARA, SASA WENGINE 4 WANAHITAJIKA

Kocha wa Zanzibar Heroes Hemed Suleiman "Moroco"
Idadi ya makocha kutoka Zanzibar kufundisha ligi kuu soka Tanzania bara huenda ikaongezeka msimu huu mpya wa mwaka 2017-18.

Taarifa za uhakika tulizozinasa mtandau huu kuna makocha wengne 4 huduma zao zinahitajika kwenye vilabu mbal mbali vya huko Bara.

Hayo yote yamekuja baada ya makocha wa kutoka Zanzibar msimu ulopita kufanya vzuri katika ligi hiyo na kuziweka salama klabu zao kubakia kwenye ligi hiyo.

Makocha hao wa Zanzibar waliyofundisha vilabu vya ligi kuu ya bara na kuzisaidia timu zao kutoshuka daraja ni Ali Bushir Mahmoud “Benitez” (Mwadui FC), Abdallah Mohammed Juma “Bares” (Prisons), Malale Hamsini Keya (Ruvu Shooting) na Hemed Suleiman “ Morocco” (Stand United).


Zaidi endelea kufatilia Mtandao huu utapata kuwajua ni makocha gani hao watakaopata shavu vilabu vya ligi kuu bara.

Comments

  1. Mh sijapenda habari za uhakika kisha hamna majina wala timu zinazohitaji hao makocha uhakika ukowapi Kisandu kuwa makini

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE