PEMBA SOKA SIO SAFI UMISSETA, KESHO WANACHEZA TENA NA WENYEJI

Kikosi cha Pemba
Wakiwa hawana tena matumaini ya kucheza nusu fainali na kwasasa wanakamilisha ratiba yao kwa michezo iliyosalia timu ya Soka ya Pemba kesho watacheza mchezo wao nne dhidi ya wenyeji timu ya Mwanza katika Mashindano ya Michezo na Sanaa ya Skuli za Sekondari Tanzania (UMISSETA) katika uwanja wa Chuo cha Ualimu Butimba huko mkoani Mwanza.


Pemba walianza Mashindano hayo kwa matumaini makubwa katika mchezo wao wa awali baada ya kushinda 1-0 walipoichapa Manyara, baada ya hapo hawajashinda tena kufuatia mchezo wa pili kufungwa na Arusha 2-0, kisha wakafungwa tena Simiyu 2-1 na jana wakachapwa tena 2-1 na Kigoma, hivyo wamecheza michezo minne wameshinda mmoja tu na kufungwa mitatu.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE