RIPOTI YA KOCHA MALALE 50 YAJADILIWA LEO, ALIPENDEKEZA WACHEZAJI 10 KUACHWA NA KUSAJILIWA 6 RUVU SHOOTING

Malale Hamsini Keya kocha wa Ruvu Shooting
Mwenyekiti wa timu ya Ruvu Shooting, Kanali wa Jeshi na Mkuu wa Kikosi cha Jeshi (CO) 832 Ruvu JKT, Charles Mbuge, leo asubuhi ameongoza kikao cha viongozi wa timu kujadili taarifa ya Kocha Mzanzibar Malale Hamsini Keya aliyoiwasilisha baada ya ligi (VPL) msimu wa mwaka 2016/17 kumalizika.


Katika taarifa yake, pamoja na mambo mengine, Mwalimu Malale ameshauri wachezaji 10 kuachwa na wengine 6 kutoka klabu mbalimbali kuongezwa ili kukiimarisha kikosi msimu mpya wa ligi 2017/18.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE