TAIFA YAJIFARIJI SIKUKUU KWA GULIONI

Timu ya Taifa ya Jang'ombe imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Gulioni katika mchezo maalum wa kirafiki uliosukumwa leo saa 3 za usiku katika uwanja wa Amaan.

Mabao ya Taifa yamefungwa na Omar Chande na Adam Ibrahim "Edo" wakati bao pekee la Gulioni limefungwa na Amour Pwina.

Gulioni wanatarajia kucheza mchezo mwengine wa kirafiki siku ya Alhamis Iddi Nne dhidi ya Jang'ombe boys saa 2:00 za usiku katika uwanja wa Amaan.

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE MCHEZAJI MWENYE REKODI YA KUFUNGA MAGOLI MENGI KWENYE MECHI YA TAIFA DHIDI YA BOYS