UNGUJA YATINGA NUSU FAINALI BAADA YA KUWATOA WENYEJI MWANZA

Wenyeji wa Mashindano ya UMISSETA timu ya Soka ya Mwanza imeaga katika mashindano hayo baada ya kupigwa 2-0 na watoto wa Unguja,  mchezo wa robo fainali uliosukumwa jioni ya leo katika uwanja wa Chuo cha Ualimu Butimba,  Mwanza.


Mabao ya Unguja yamefungwa na Iliyasa Suleiman (Kotei) na Haji Sulieman(Van chaba).

Nusu fainali Unguja watasukumana kesho saa2 asubuhi dhidi ya Songwe katika uwanja wa Chuo cha Ualimu Butimba,  Mwanza. 

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE