ANGALIA KIKOSI KILICHOANZA CHA KOMBAIN YA MJINI UNGUJA KWENYE MCHEZO WA SASAIVI DHIDI YA MBULU ALL STARS


Kikosi kamili cha Mabingwa Watetezi wa Mashindano ya Rolling Stone timu ya Mjini Unguja watakaocheza na wenyeji timu ya Mbulu All Stars saa 10:15 katika uwanja wa Julius Nyerere huko Mbulu Mkoani Manyara.

KIKOSI KAMILI CHA MJINI UNGUJA
1. George Munish “Dida”
2. Hassan Chalii
3. Muharami Khamis “Terra”
4. Abubakar Ame “Luiz”
5.  Ali Juma Maarifa “Mabata”
6. Mohd Yahya “Banka”
7. Abrahman Juma “Baby” (C)
8. Yakoub Amour
9. Mohd Vuai “Prince”
10. Ibrahim Abdallah “Imu Mkoko”
11. Seif Said “Tiote”

SUB

Ali Mbarouk (Al hapsy)
Mohammed Jailan (Msuva)
Mohammed Haji (X box)
Suleiman Ali (De jong)
Abdul hamid (Ramos)
Fahmi Salum (Migwel)
Abdul hamid Juma (Samatta)
Ibrahim Chafu

Talib Mohammed

Kocha mkuu wa timu hiyo ni Mohammed Seif “King” akisaidiwa na Ramadhan Abdulrahman “Madundo”.




Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE