BOYS HOI KWA ZIMAMOTO, JAMHURI BADO KIGUGUMIZI

Timu ya Zimamoto imefanikiwa kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Jang’ombe Boys katika mchezo wa ligi kuu soka ya Zanzibar hatua ya 8 bora uliosukumwa jioni ya leo katika uwanja wa Amaan.

Goli la Zimamoto lilifungwa na Idrissa Simai Pandu dakika ya 84.

Mchezo mwengine umepigwa katika uwanja wa Gombani kisiwani Pemba timu ya Jamhuri ikaenda sare ya 1-1 dhidi ya Okapi.

Bao la Okapi limefungwa na Bakar Hamad dakika ya 5 wakati bao la Jamhuri limefungwa na Ahmed Ali Omar dakika ya 20.


Ligi hiyo itaendelea tena kesho.
J’TANO
26/7/017
31
MWENGE
VS
KIZIMBANI
SAA 10  JIONI GOMBANI
J’TANO
26/7/017
32
JKU
VS
TAIFA
SAA 10JIONI AMAAN
9TH  ROUND
J’MOSI
29/7/017
33
ZIMAMOTO
VS
JKU
SAA 10  JIONI AMAAN
J’MOSI
29/7/017
34
JAMHURI
VS
MWENGE
SAA 10  JIONI GOMBANI
J’PILI
30/7/017
35
OKAPI
VS
KIZIMBANI
SAA 10  JIONI GOMBANI
J’PILI
30/7/017
36
JANG’OMBE BOYS
VS
TAIFA
SAA 1:00USK AMAAN

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE MCHEZAJI MWENYE REKODI YA KUFUNGA MAGOLI MENGI KWENYE MECHI YA TAIFA DHIDI YA BOYS