JKU ACADEMY NOWMA, YAWAPIGA WENZAO 5-0 MASHINDANO YA ROLLING STONE

Timu ya JKU Academy imetisha jioni ya leo katika Mashindano ya Vijana ya Afrika na Kati ya Rolling stone baada ya kuifunga Namanga Academy mabao 5-0 uwanja wa Mirerani Simanjiro.

Mabao ya JKU yamefungwa na Abdallah Salum (mawili), Salehe Mshamu, Hamid Bakar na Mudrik Ally.

JKU Academy watacheza tena kesho kutwa Jumatano July 12, 2017 saa 10 za jioni dhidi ya timu ya Middle H katika uwanja wa Mirerani.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE