KOMBAIN YA MJINI NA DULLA BOYS NGUVU SAWA, JUMATANO NA KWEREKWE CITY

Timu ya Kombain ya Mjini na timu ya Dulla boys zimeshindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya 0-0 katika mchezo wa kirafiki uliopigwa jioni ya leo katika uwanja wa Amaan.

Mjini watacheza tena mchezo mwengine wa kirafiki kesho kutwa Jumatano July 5, 2017 dhidi ya Kwerekwe City katika uwanja wa Amaan saa 1 za usiku.

Mjini wanajiandaa na Mashindano ya Rolling Stone ambayo yanatarajiwa kuanza July 9-19, 2017 huko Mbulu Mkoani Manyara.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE