KOMBAIN YA MJINI TENA NA DULLA BOYS KESHO, JUMATANO WATAKIPIGA NA KWEREKWE CITY

Ali Juma "Mabata" mlinzi wa Mjini
Timu ya Kombain ya Wilaya ya Mjini inatarajia kucheza mchezo wa kirafiki na Dulla Boys kesho Jumatatu July 3, 2017 saa 10:00 za jioni katika uwanja wa Amaan.

Kiingilio cha mchezo huo ni Shilingi Elfu moja na V.I.P ni shilingi Elfu mbili.

Mchezo wa mwisho wa kirafiki Mjini watacheza na Kwerekwe City siku ya Jumatano July 5, 2017 saa 10:00 za jioni katika uwanja wa Amaan.


Kombain ya Mjini wanajiandaa na Mashindano ya Rolling Stone yanayotarajiwa kuanza July 9 hadi July 19, 2017 huko Mbulu Manyara.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE