MAPINDUZI IMEWAPINDUA NEW POWER LIGI YA MABINGWA WILAYA


Timu ya Mapinduzi kutoka Wilaya ya Kusini Unguja imefanikiwa kuondoka na alama 3 muhimu baada ya kuifunga 1-0 New Power kutoka Wilaya ya Kati, kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa wa Daraja la Pili Wilaya pambano lililopigwa leo saa10 za jioni katika Uwanja wa Amaan.

Bao pekee la Mapinduzi limefungwa na Ali Ameir dakika ya 77 ya mchezo huo.

Ligi hiyo itaendelea tena kama ratiba ilivyo hapo chini:-
11/7/017 Kianga Int vs Shingwi Heroes
12/7/017 African Boys vs Kwerekwe City
15/7/017 New King vs Super Tiger
16/7/017 Uhuru vs Nyangobo

Mechi zote hizo zitachezwa saa 10:00 alasiri uwanja wa Amaan

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE