MJINI UNGUJA WATWAA UBINGWA TENA ROLLING STONE

Timu ya Kombain ya Mjini Unguja imefanikiwa kutwaa tena ubingwa wa Mashindano ya Vijana ya Afrika Mashariki na Kati ya Rolling Stone baada ya kuwafunga timu ya Fire Boys kutoka Karatu mabao 2-0 fainali iliyopigwa jioni ya leo katika uwanja wa Julious Nyerere huko Mbulu Mkoani Manyara.

Mabao ya Mjini Unguja yamefungwa na Ibrahim Abdallah (Mkoko) na Seifu Said (Tiote).

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE