MJINI UNGUJA YATETEA TAJI LAO VYEMA, LEO YATINGA ROBO FAINALI ROLLING STONE

Mabingwa watetezi wa Mashindano ya Vijana ya Afrika Mashariki na Kati ya Rolling Stone timu ya Mjini Unguja imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali katika Mashindano hayo kufuatia kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fire Boys ya Karatu mchezo uliosukumwa jioni ya leo katika uwanja wa Julious Nyerere huko Mbulu Mkoani Manyara.

Mabao ya Mjini yamefungwa na Ibrahim Abdallah "Imu Mkoko" na Abdul hamid Juma "Samatta".

Robo fainali Mjini wanatarajia kucheza Ijumaa ambapo bado hawajamjua mpinzani wao.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE