MKUU WA MKOA WA MJINI MAGHARIBI AZINDUA KIPWIDA CUP

Mashindano ya Kipwida CUP yameanza rasmi jioni ya leo katika uwanja wa Lion Kids kwa mchezo kati ya Kisakasaka United na Big Nation uliomalizika kwa Kisakasaka kufungwa mabao 2-1, ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud.

Kisakasaka ndio waliotangulia kupata bao katika dakika ya 12 kupitia kwa Abdillah Ali na kusawazishiwa dakika ya 77 kupitia kwa Ramadhan Yussuf ambae alifunga ena dakika ya 82.

Ligi hiyo inatarajiwa kuendelea tena kesho kwa mchezo mmoja kati ya Basra Boys dhidi ya Mpira Pesa katika Uwanja wa Lion Kids saa 10 za jioni.


Na: Mwajuma Juma, Zanzibar.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE