MZUNGUKO WA 7 UMEMALIZIKA ZIMAMOTO YABANWA NA OKAPI, JUMANEE KUENDELEA TENA LIGI YA ZENJ


Mchezo wa mwisho wa mzunguko wa saba wa ligi kuu soka ya Zanzibar hatua ya 8 bora uliochezwa jioni ya leo katika uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba timu ya Okapi dhidi ya Zimamoto zimeshindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya kufungana bao 1-1.

Zimamoto ndio wa mwanzo kupata bao lililofungwa na Nyange Othman Denge dakika ya 30 wakati bao la Okapi limefungwa na Abdallah Rashid dakika ya 69.

Ligi hiyo itaendelea tena mzunguko wake wa 8
J’NNE
25/7/017
29
OKAPI
VS
JAMHURI
SAA 10  JIONI GOMBANI
J’NNE
25/7/017
30
JANG’OMBE BOYS
VS
ZIMAMOTO
SAA 10  JIONI AMAAN
J’TANO
26/7/017
31
MWENGE
VS
KIZIMBANI
SAA 10  JIONI GOMBANI
J’TANO
26/7/017
32
JKU
VS
TAIFA
SAA 10JIONI AMAAN

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE