NINJA WA ZANZIBAR AKIWA NA UZI WA YANGA


Mlinzi mpya wa Yanga Abdallah Haji Shaibu "Ninja"ni miongoni mwa wachezaji wa Yanga waliyoanza mazoezi tangu Jumanne na kikosi chao kwa kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba pamoja na ligi kuu soka Tanzania bara.

Ninja ndie mchezaji wa kwanza msimu huu wa mwaka 2017-2018 kusajiliwa Yanga akitokea Taifa ya Jang’ombe ya Zanzibar ambapo amefunga mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo.


Yanga ilianza mazoezi rasmi uwanjani tangu Jumanne ya July 11, 2017 na kuanzia Jumatano ya July 12, 2017 hadi leo asubuhi walifanya mazoezi yao kwenye gym ili kujiweka sawa zaidi. 

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE