TAIFA JANG'OMBE BADO NYANYA, JKU SI WA MCHEZO MCHEZO

Matokeo ya ligi kuu soka ya Zanzibar hatua ya 8 bora.

Gombani Pemba,  Okapi 2-2 Taifa ya Jang'ombe.

Mabao ya Okapi Seif Saleh dakika ya 53 na Abdallah Rashid dakika ya 81.

Mabao ya Taifa Mohammed Said (Mess) dakika ya 70 na Ali Badru dakika ya 72.

Aman Unguja, JKU 3-0 Kizimbani.

Mabao JKU Is haka Othman dakika ya 41, Khamis Abdallah dakika ya 49 na Mbarouk Chande dakika ya 76.

Ligi hiyo itasimama hadi siku ya Ijumaa ambapo Jang'ombe Boys watakipiga na Kizimbani saa 10 jioni.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE