AMOUR JANJA AKOSA PENALTI DAKIKA ZA MAJERUHI JKU WAKITOA SULUHU NA BOYS, DOZI YA 5-0 YAENDELEA PEMBA

Timu ya JKU na Jang’ombe Boys zimeshindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya 0-0 katika mchezo wa 8 bora ligi kuu soka ya Zanzibar uliopigwa jioni ya leo katika uwanja wa Amaan.

Katika mchezo huo Amour Omar “Janja” wa JKU alikosa penalty katika dakika ya 83.

Mchezo mwengine jioni ya leo umepigwa katika dimba la Gombani Kisiwani Pemba ambapo timu ya Mwenge ikaichapa Okapi mabao 5-0.


Mabao ya Mwenge yamefungwa na Abdul Yussuf dakika 6 na 44, Sharifu Juma Hamad dakika ya 9, Humoud Abdulrahman dakika ya 15 na 75.

ligi hiyo itaendelea tena :-

11TH  ROUND
J’TATU
07/8/017
41
JAMHURI
VS
TAIFA
SAA 10  JIONI GOMBANI
J’NNE
08/8/017
42
ZIMAMOTO
VS
MWENGE
SAA 10  JIONI AMAAN
J’NNE
08/8/017
43
JANG’OMBE BOYS
VS
OKAPI
SAA 1:00USKAMAAN
J’NNE
08/8/017
44
KIZIMBANI
VS
JKU
SAA 10JIONIGOMBANI
12TH  ROUND
IJUMAA
11/8/017
45
JAMHURI
VS
JKU
SAA 10  JIONI GOMBANI
IJUMAA
11/8/017
46
ZIMAMOTO
VS
OKAPI
SAA 10  JIONI AMAAN
IJUMAA
11/8/017
47
JANG’OMBE BOYS
VS
MWENGE
SAA 1:00USK AMAAN
J’MOSI
12/8/017
48
KIZIMBANI
VS
TAIFA
SAA 10  JIONI GOMBANI
13TH  ROUND
J’NNE
15/8/017
49
JAMHURI
VS
ZIMAMOTO
SAA 10  JIONI GOMBANI
J’NNE
15/8/017
50
JKU
VS
OKAPI
SAA 10  JIONI AMAAN
J’TANO
16/8/017
51
KIZIMBANI
VS
JANG’OMBE BOYS
SAA 10  JIONI GOMBANI
J’TANO
16/8/017
52
TAIFA
VS
MWENGE
SAA 10JIONI AMAAN
14TH  ROUND
J’MOSI
19/8/017
53
JAMHURI
VS
JANG’OMBE BOYS
SAA 10  JIONI GOMBANI
J’MOSI
19/8/017
54
JKU
VS
MWENGE
SAA 10  JIONI AMAAN
J’PILI
20/8/017
55
KIZIMBANI
VS
ZIMAMOTO
SAA 10  JIONI GOMBANI
J’PILI
20/8/017
56
TAIFA
VS
OKAPI
SAA 10JIONI AMAAN

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE