KWEREKWE CITY WALIANZA NA WENGINE WAMEFUATIA, TIMU 4 ZIMEJULIKANA ZILIZOPANDA LIGI DARAJA LA PILI TAI
Bechi la Ufundi wa Kwerekwe City |
Timu 4 zilizofanikiwa kupanda daraja la Pili Taifa kutoka la
Pili Wilaya zimeshapatikana ambazo ni Kwerekwe city, New King, Mlandege na
Mfenesini.
Timu hizo msimu mpya wa mwaka 2017-2018 zitashiriki ligi
daraja la Pili Taifa ambapo ligi hiyo itakuwa na timu 36 na itachezwa kwa mfumo
wa makundi ambapo zitapangwa kwenye makundi matatu na kila kundi kushuka timu
3.
Comments
Post a Comment