JKU WABEBA NGAO YA HISANI



TIMU ya JKU imefanikiwa kutwaa taji la Ngao ya Jamii kuashiria ufunguzi wa msimu mpya wa 2017-2018 wa Ligi Kuu ya Soka visiwani Zanzibar baada ya ushindi wa wa mabao 2-0 dhidi ya Miembeni city katika Uwanja wa Amaan jioni ya leo.

Mabao ya JKU yamefungwa na Salum Mussa dakika ya 47 na Nassor Mattar dakika ya 48.
Kikosi cha JKU
Baada ya mchezo huo, maana yake pazia la Ligi Kuu ya Soka visiwani Zanzibar ndiyo limefunguliwa rasmi na ligi hiyo itaanza rasmi Oktoba 3, 2017 ambapo mechi za awali zitakua kama ifuatavyo.
3/10/2017
Mafunzo Vs JKU saa 8:00 mchana
J/Boys Vs KMKM saa 10:00 jioni

4/10/2017
Kilimani City Vs Kipanga saa 8:00 mchana
Charawe Vs KVZ saa 10:00 jioni

5/10/2017
Zimamoto Vs Taifa J saa 8:00 mchana
Polisi Vs Miembeni C saa 10:00 jioni

6/10/2017
Chuoni Vs Black S saa 10:00 jioni
Baada ya mzunguko huo ligi itasimama hadi tarehe 15/10/2017.
 
Kikosi cha Miembeni City

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE