TAIFA JANG’OMBE NA KWEREKWE CITY HAPATOSHI HAPO

Wachezaji wa Taifa ya Jang'ombe 
Timu ya Taifa ya Jang’ombe (Wakombozi wa Ngambo) ambao wanashiriki ligi kuu soka ya Zanzibar, wanatarajia kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Kwerekwe City inayoshiriki ligi daraja la Pili Taifa Unguja.

Mchezo huo utapigwa siku ya Jumapili ya Oktoba 1, 2017 saa 1:00 za usiku katika uwanja wa Amaan.


Mechi yao ya kwanza ya ligi kuu soka ya Taifa ya Jang’ombe itacheza dhidi ya Zimamoto mchezo ambao utapigwa Oktoba 5 mwaka huu saa 8:00 za mchana katika uwanja wa Amaan. 
Benchi la Ufundi la Kwerekwe City

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE MCHEZAJI MWENYE REKODI YA KUFUNGA MAGOLI MENGI KWENYE MECHI YA TAIFA DHIDI YA BOYS