THEO KOMBAIN YATOLEWA KATIKA MASHINDANO YA NDONDO CUP NA KIBONDE MAJI
Matokeo ya leo Jumapili 24/9/2017 nusu fainali ya kwanza.
Dakika 90, Theo Kombain 1-1 Kibonde Maji , Penalty Kibonde maji 4-3 Theo.
KESHO Jumatatu 25/9/2017
Six center vs Amazon fc
katika uwanja wa blue star Mwera saa 10: 00 za jioni.
Mashindano
hayo ya Ndondo CUP awali yalianza na timu 63 kwa kuchezwa mtoano na mpaka sasa
kufikia hatua ya nusu fainali ambapo bingwa anatarajiwa kupatiwa Ng'ombe
na Shilingi Milioni moja.
![]() |
Mashabiki wa Kibonde Maji wakishangiria ushindi |
Comments
Post a Comment