DK SHEIN AMTEUWA GULAM KUWA MWENYEKITI WA BTMZ

Gulam Abdulla Rashid
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, jana amefanya uteuzi kwa kumteuwa Gulam Abdulla Rashid kuwa Mwenyekiti wa baraza la Taifa la michezo Zanzibar (BTMZ).

Uteuzi huo ameufanya Kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu cha 7(1) cha Sheria ya Baraza la Michezo Namba 5 ya 2010.  

Gulam ambae alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) anachukua nafasi ya Sharifa Khamis (Bi Shery) ambae alikuwa nafasi hiyo.


Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE