HAWA NDIO WANAONGOZA KWA MAGOLI LIGI KUU ZANZIBAR KANDA YA UNGUJA
Salum Akida (KVZ) akikabidhiwa mpira na Abdughan Msoma mkurugenzi wa Ufundi ZFA |
Mzunguko wa tatu wa Ligi kuu ya Zanzibar Kanda
ya Unguja inatarajia kuanza Jumamosi ya Oktoba 21 saa 8:00 za mchana katika uwanja wa Amaan kati ya
Mafunzo na Taifa ya Jang’ombe na saa 10:00 za jioni kati ya JKU na Miembeni
City.
Mpaka
sasa jumla ya mabao 31 yamefungwa katika ligi hiyo huku washambuliaji Salum
Songoro wa KVZ na Nassor Ali wa Kipanga ndio wanaongoza katika safu ya ufungaji
ambapo wameshafunga jumla ya mabao 3 kila mmoja.
1. Salum Songoro (KVZ) mabao
3
2. Nassor
Ali (Kipanga) mabao 3
3. Ali
Haji Said “Zege” (JKU) mabao 2
4. Mudrik
Muhibu (KMKM) mabao 2
5. Salum
Akida (KMKM) mabao 2
6. Shomari
Waziri (JKU) bao 1
7. Nassor
Matar (JKU) bao 1
8. Khamis
Mussa “Rais” (J Boys) bao 1
9. Talib
Hamad (Kipanga) bao 1
10.
Daud Nyerere (Kipanga) bao 1
11.
Hafidh Juma Haji (Chuoni) bao 1
12.
Hamad Mshamata (Chuoni) bao 1
13.
Charles Chinonso (Chuoni) bao 1
14.
Ali Othman (Mafunzo) bao 1
15.
Ibrahim Hamad Hilika (Zimamoto) bao 1
16.
Nyange Othman Denge (Zimamoto) bao 1
17.
Idrissa Simai (Zimamoto) bao 1
18.
Abdallah Omar (Polisi) bao 1
19.
Rafael Mwambeleko (KVZ) bao 1
20.
Sultan Juma Kaskas (KVZ) bao 1
21.
Bakar Bakar Mashango (Kilimani City) bao 1
22.
Joseph Josephat Kalinga (Kilimani
City) bao 1
23.
Abdillah Seif Bausi (Kilimani
City) bao 1
24.
Abas
Peter John (Black Sailors) bao 1
Ncerdiamika Diana Koroma https://wakelet.com/wake/4hnrjhSs4OG4dvIzJjpy7
ReplyDeletebipymorgeo
adtotoi_ku Byron Mancuso Avast Premier
ReplyDeleteInternet Download Manager
Bootstrap Studio
dragerroca