KILICHOMKUTA JANA CHARAWE LEO CHAMKUTA MIEMBENI CITY KWA POLISI

Timu ya Miembeni City leo imekaribishwa kwenye ligi kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja baada ya kuchapwa bao 1-0 na Polisi mchezo uliochezwa saa 10 za jioni kwenye uwanja wa Amaan.

Bao pekee la Polisi lililopeleka msiba kwa City limefungwa na Abdallah Omar dakika ya 90 ya mchezo huo.

 saa 1:00 za usiku Taifa ya Jang’ombe imechapwa 1-0 na Zimamoto bao lililofungwa na Ibrahim Hamad Hilika dakika ya 69.


Mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo utakamilika kesho kwa kupigwa mchezo mmoja saa 10:00 za jioni kati ya Black Sailors dhidi ya Chuoni.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE