LIGI KUU SOKA YA ZANZIBAR KUANZA RASMI KESHO KUPIGWA MECHI 4

Ligi kuu Soka ya Zanzibar msimu wa mwaka 2017-2018 unatarajiwa kuanza rasmi kesho Oktoba 3 kwa kusukumwa michezo miwili katika uwanja wa Amaan.

Kwa upande wa Kanda ya Unguja Mabingwa watetezi wa ligi hiyo klabu ya JKU wataanza kutetea taji lao kwa kucheza na Mafunzo mchezo utakachezwa Saa 8:00 za mchana katika Uwanja wa Amaan, mchezo mwengine utapigwa saa 10:00 za jioni katika uwanja huo huo wa Amaan kati ya KMKM dhidi ya Jang’ombe Boys.




Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE