LIGI KUU ZENJ KUINGIA MZIGONI TENA KESHO MIEMBENI CITY KUKIPIGA NA CHUON

Chuoni
Mzunguko wa nne wa ligi kuu soka ya Zanzibar kanda ya Unguja utaanza kesho kwa kupigwa mchezo mmoja katika Uwanja wa Amaan kati ya Chuoni dhidi ya Miembeni City majira ya saa 10:00 za jioni.

Chuoni inakwenda katika mchezo huo wakiwa na alama 4 wakishika nafasi ya 6 huku Miembeni City wenyewe wakijitupa katika mchezo huo wakiwa na rekodi mbaya yakupoteza michezo mitatu mfululizo ya awali na wakikamata nafasi ya 13 katika timu 14 zinazoshiriki ligi hiyo.
Miembeni City
IJUMAA
27/10/017
22
MIEMBENI CITY
VS
CHUONI
SAA 10:00 ALS AMAAN
J’MOSI
28/10/017
23
TAIFA YA J/MBE
VS
JKU
SAA 8:00 MCH AMAAN
J’MOSI
28/10/017
24
KVZ
VS
MAFUNZO
SAA 10:00 ALS AMAAN
J’PILI
29/10/017
25
KIPANGA
VS
POLISI
SAA 8:00 MCH AMAAN
J’PILI
29/10/017
26
KMKM
VS
ZIMAMOTO
SAA 10:00 ALS AMAAN
J’TATU
30/10/017
27
BLACK SAILORS
VS
CHARAWE
SAA 8:00 MCH AMAAN
J’TATU
30/10/017
28
JANG’OMBE BOYS
VS
KILIMANI CITY
SAA 10:00 ALS AMAAN

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE MCHEZAJI MWENYE REKODI YA KUFUNGA MAGOLI MENGI KWENYE MECHI YA TAIFA DHIDI YA BOYS