SAILORS YACHAPWA NA CHUONI, KESHO DARAJA LA KWANZA MLANDEGE NA KIZIMKAZI
Mzunguko
wa kwanza wa Ligi kuu soka ya Zanzibar kanda ya Unguja umekamilika jioni ya leo
kwa kupigwa mchezo mmoja katika uwanja wa Amaan ambapo Maostadh wa Chuoni
wakaichapa Black Sailors bao 1-0.
Bao
pekee la Chuoni limefungwa na Hafidh Juma Haji dakika ya 50 ya mchezo.
Baada ya kuchezwa mzunguko mmoja kwa kila timu kwenye ligi
kuu soka ya Zanzibar Kanda ya Unguja sasa ligi hiyo itakwenda mapumziko hadi
Oktoba 15 kuendelea tena mzunguko wa pili.
Ratiba ya mzunguko wa Pili kama zifuatazo ambapo michezo yote
itapigwa katika uwanja wa Amaan.
Jumapili 15/10/2017 saa 8:00 za mchana JKU vs Chuoni
Jumapili 15/10/2017 saa 10:00 za jioni Miembeni City vs
Mafunzo
Jumatatu 16/10/2017 saa 8:00 za mchana Taifa ya
Jang’ombe vs Polisi
Jumatatu 16/10/2017 saa 10:00 za jioni KVZ vs Zimamoto
Jumanne 17/10/2017 saa 8:00 za mchana Kipanga vs
Charawe
Jumanne 17/10/2017 saa 10:00 za jioni KMKM vs Kilimani
City
Jumatano 18/10/2017 saa 10:00 za jioni Black Sailors vs
Jang’ombe Boys
KESHO RASMI DARAJA LA KWANZA LINAANZA UNGUJA
1ST
ROUND
|
||||||
J’MOSI
|
07/10/017
|
1
|
MLANDEGE
|
VS
|
KIZIMKAZI
|
SAA 10 JIONI AMAAN
|
J’MOSI
|
07/10/017
|
2
|
WHITE BIRD
|
VS
|
MIEMBENI S.C
|
SAA 10 DUNGA K/BENI
|
J’MOSI
|
07/10/017
|
3
|
KIMBUNGA
|
VS
|
MAHONDA KIDS
|
SAA 10 JIONI TAZARI
|
J’MOSI
|
07/10/017
|
4
|
KIJICHI
|
VS
|
POLISI BRIDGE
|
SAA 10 MWANAKOMBO
|
J’PILI
|
08/10/017
|
5
|
VILLA UNITED
|
VS
|
IDUMU
|
SAA 10 BUMBWISUDI
|
J’PILI
|
08/10/017
|
6
|
MALINDI
|
VS
|
NGOME
|
SAA
1:00 USK AMAAN
|
J’PILI
|
08/10/017
|
7
|
STRONG FIRE
|
VS
|
MUNDU
|
SAA 10 JIONI BUNGI
|
J’PILI
|
08/10/017
|
8
|
AFRICAN COAST
|
VS
|
SEBLENI UNITED
|
SAA 10 MWANAKOMBO
|
Comments
Post a Comment