SAILORS YACHAPWA NA CHUONI, KESHO DARAJA LA KWANZA MLANDEGE NA KIZIMKAZI



Mzunguko wa kwanza wa Ligi kuu soka ya Zanzibar kanda ya Unguja umekamilika jioni ya leo kwa kupigwa mchezo mmoja katika uwanja wa Amaan ambapo Maostadh wa Chuoni wakaichapa Black Sailors bao 1-0.

Bao pekee la Chuoni limefungwa na Hafidh Juma Haji dakika ya 50 ya mchezo.

Baada ya kuchezwa mzunguko mmoja kwa kila timu kwenye ligi kuu soka ya Zanzibar Kanda ya Unguja sasa ligi hiyo itakwenda mapumziko hadi Oktoba 15 kuendelea tena mzunguko wa pili.

Ratiba ya mzunguko wa Pili kama zifuatazo ambapo michezo yote itapigwa katika uwanja wa Amaan.

Jumapili 15/10/2017 saa 8:00 za mchana JKU vs Chuoni
Jumapili 15/10/2017 saa 10:00 za jioni Miembeni City vs Mafunzo

Jumatatu 16/10/2017 saa 8:00 za mchana Taifa ya Jang’ombe vs Polisi
Jumatatu 16/10/2017 saa 10:00 za jioni KVZ vs Zimamoto

Jumanne 17/10/2017 saa 8:00 za mchana Kipanga vs Charawe
Jumanne 17/10/2017 saa 10:00 za jioni KMKM vs Kilimani City

Jumatano 18/10/2017 saa 10:00 za jioni Black Sailors vs Jang’ombe Boys

KESHO RASMI DARAJA LA KWANZA LINAANZA UNGUJA


1ST ROUND
J’MOSI
07/10/017
1
MLANDEGE
VS
KIZIMKAZI
SAA 10 JIONI AMAAN 
J’MOSI
07/10/017
2
WHITE BIRD
VS
MIEMBENI S.C
SAA 10 DUNGA K/BENI
J’MOSI
07/10/017
3
KIMBUNGA
VS
MAHONDA KIDS
SAA 10 JIONI TAZARI
J’MOSI
07/10/017
4
KIJICHI
VS
POLISI BRIDGE
SAA 10 MWANAKOMBO
J’PILI
08/10/017
5
VILLA UNITED
VS
IDUMU
SAA 10 BUMBWISUDI
J’PILI
08/10/017
6
MALINDI
VS
NGOME
SAA 1:00 USK AMAAN
J’PILI
08/10/017
7
STRONG FIRE
VS
MUNDU
SAA 10 JIONI BUNGI
J’PILI
08/10/017
8
AFRICAN COAST
VS
SEBLENI UNITED
SAA 10 MWANAKOMBO

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE