TAIFA YA JANGOMBE YAPIGWA KIBAO NA HILIKA

Mchezo wa mwisho leo ligi kuu soka ya Zanzibar Kanda ya Unguja uliochezwa saa 1 usiku Amaan,  Zimamoto 1-0 Taifa ya Jang'ombe.

Bao limefungwa na Ibrahim Hamad Hilika dakika ya 69.

Ligi hiyo itaendelea tena kesho saa10:00 za jioni katika uwanja wa Amaan,  Black Sailors dhidi ya Chuoni.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE