WAJUWE WAZANZIBAR WAWILI WALIYOITWA TAIFA STARS KWAAJILI YA MCHEZO WA KESHO TANZANIA DHIDI YA MALAWI

Banka mwenye virasta na Adeyum
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kesho Jumamosi Oktoba 7, 2017 itacheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Malawi utakaofanyika Uwanja wa Uhuru,  kuanzia saa 10.00 jioni. 


Katika kikosi hicho wamo Wazanzibar wawili ambao wanaonekana kungara sana katika ligi kuu soka Tanzania bara akiwemo mlinzi wa kushoto Adeyum Saleh Ahmed Machupa anaechezea Kagera Sugar pamoja na kiungo bora Mohammed Issa (Banka) anaekipiga Mtibwa Sugar.


Kila la Kheir Banka na Adeyum pamoja na Taifa Stars kwa ujumla.



Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE