JKU YADINDIWA NA KIPANGA , KESHO SAILORS MZIGONI NA MAAFANDE
Ligi kuu soka ya Zanzibar kanda ya Unguja imeendelea tena leo kwa kupigwa mchezo mmoja katika uwanja wa Amaan majira ya Saa 10 za jioni ambapo timu ya JKU wakatoka sare ya 0-0 na Kipanga.
Mchezo huo ulikuwa kutokana na ubora wa timu zote mbili huku Mashabiki wengi walijitokeza kuangalia burudani hiyo.
Ligi hiyo itaendelea tena kesho kwa kupigwa michezo miwili katika uwanja wa Amaan, mapema saa 8:00 za mchana KMKM watakuwa na kazi kucheza na Mafunzo na saa 10:00 za jioni Black Sailors watacheza na Polisi.
Mchezo huo ulikuwa kutokana na ubora wa timu zote mbili huku Mashabiki wengi walijitokeza kuangalia burudani hiyo.
Ligi hiyo itaendelea tena kesho kwa kupigwa michezo miwili katika uwanja wa Amaan, mapema saa 8:00 za mchana KMKM watakuwa na kazi kucheza na Mafunzo na saa 10:00 za jioni Black Sailors watacheza na Polisi.
Comments
Post a Comment