KOZI YA MAKOCHA MAGHARIBI B YAFUNGWA, WATAKIWA KUJITOLEA ZAIDI


Kozi ya makocha wa Mpira wa Miguu ngazi ya awali imefungwa leo Ijumaaa Novemba 3, 2017 saa 3.00 asubuhi kwenye Ukumbi wa ZFA Wilaya Magharibi B uliopo Mwanakwerekwe Ijitimai.

Katibu Mkuu wa ZFA Wilaya ya Magaharibi B Omar Abuu amewataka makocha
29 waliyomaliza kozi hiyo kufundisha soka kwa uzalendo na si kuvikomo vilabu kwani mafanikio ya makocha hayaji kwa haraka.

Awali, Mkufunzi wa kozi hiyo anaetambuliwa na Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Nassra Juma amewapongeza Makocha hao huku akiwashukuru pia ZFA kwa kuandaa kozi hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE