ZANZIBAR HEROES KUCHEZA NA TAIFA YA JANG’OMBE KESHO
Timu ya Taifa ya Soka ya
Zanzibar (Zanzibar Heroes) kesho Jumatano inatarajia kucheza mchezo wa kirafiki
na klabu ya Taifa ya Jang’ombe pambano litakalopigwa majira ya saa 2:00 za
usiku katika uwanja wa Amaan.
Zanzibar
Heroes inajiandaa na Mashindano ya CECAFA Chalenj CUP yanayotarajiwa kuanza
rasmi Disemba 3-17, 2017 nchini Kenya ambapo wamepangwa kundi A pamoja na ndugu
zao Tanzania Bara, Libya, Rwanda na wenyeji Kenya.
Comments
Post a Comment